HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 15, 2012

Mtoto Daniela Paul Kirigini afariki Dunia nchini India

Familia ya bwana na bibi Paul kirigini wa Jijini Dar es salaam wanasikitika kwa kuondokewa na binti yao mpendwa Daniela Paul (pichani) aliefariki jana huko nchini India,alikokwenda kwa matibabu! 

Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili kesho Novemba 16,2012  kwa Ndege ya shirika la Emerates saa 3;30 alasiri. 

Shughuli za kuuaga mwili wa marehemu Daniela zitafanyika jumamosi nyumbani kwao upanga Mazengo Road kwenye Flats za BOT.

Tunamuombea kwa Mungu aweze kuiweka Roho ya Marehemu Daniela mahala pema peponi.

-Amen

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad