Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana,
Mh. Baraka Konisaga akizungumza na wa namichezo wakati wa kuhitimisha michezo ya
Bandari inter-ports games ambayo ilifanyika hivi karibuni jijini Mwanza katika viwanja
vya CCM Kirumba. Kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Madeni Kipande
akiwa na maafisa wengine wa juu wa TPA.
Mkuuwa Wilayaya Nyamagana,
Mh. Baraka Konisaga akikabidhi kikombe cha ushindi wa kwanza kwa mwakilishi wa washindi
wa kwanza wa mpira wa kikapu, Kisanta kutoka Makao Makuu ya Mamlaka ya Usimamizi
wa Bandari Tanzania mara baada kukamilika kwa michezo ya inter-ports
iliyofanyika jijini Mwanza hivi karibuni.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana,
Mh. Baraka Konisaga akikabidhi kikombe cha ushindi kwanza wa michezo ya inter-ports,
kapteni wa timu ya mpira wa pete, Judith Ilunda kutoka Bandari ya Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana,
Mh. Baraka Konisaga akikabidhi kikombe cha ushindi kwanza wa michezoya
inter-ports, kapteni wa timu ya mpira wa miguu, VitalisSalila wa Bandari ya Dar
es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana,
Mh. Baraka Konisaga akikabidhi kikombe cha ushangiliaji kwa mwakilishi wa Bandari
ya Dar es Salaam ambao waliibuka na ushindi huo mbele ya bandari nyingine wakati
wa michezo ya Bandari inter-ports games ambayo ilifanyika hivi karibuni jijini Mwanza
katika viwanja vya CCM Kirumba.
Wachezaji wa timu ya Bandari ya Dar es Salaam wakiwa na vikombe vya ushindi wao mara baada ya kuibuka washindi wa jumla wa michezo ya Bandari inter-ports games iliyofanyika jijini Mwanza hivi karibuni.
No comments:
Post a Comment