Wanafunzi wa Sekondari za ngg'ambo ya pili ya Dar es Salaam yaani Kigamboni wakila boda kukwepa kulipa Tsh.50 ya kwenye kivuko, huku wakipita kwa shida kwenye uchochoro uliofurika maji. Wakisepa kiana mchana kweupe kama hawaonekani vile.
No comments:
Post a Comment