Moshi mzito ni kero inayowakabili wakaanga smaki wa feli kutokana na sehemu ndogo tu iliyokua haijaungua kubanana wakaanga samaki. Halihiyo imedumu kwa zaidi ya mwaka sasa bila kufanymatengeneo ambapo hali huwa mbaya zaidi inaponyesha mvua.
Moshi na Jua ni baadhi ya adha wanazozipata wkaanga samaki ndani ya soko hilo.
No comments:
Post a Comment