HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 29, 2012

KAZI YA UJENZI KILWA ROAD YASHIKA KASI, Tofauti kati ya awali na yasasa yaonekana.

 Mafundi wakindelea nakazi ya ujenzi wa barabara ya Kilwa eneo la Mishen kazi inayoonekana kwenda kwa kasi, ujenzi wa barabara hiyo unafanyika mwaka mmoja tu tangu Waziri wa ujenzi Dk.John Magufuli kuikataa barabara hiyo kwa madai ya kuwa chini ya kiwango iliyokuwa ikijengwa na wakandarasi wa Japan.
Usalama kazini kitu cha kwanza.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad