HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 2, 2012

Kamera ya Mtaa kwa Mtaa na Muonekano wa Mji wa Zanzibar leo

 Raundi abauti ya Michenzani Maghorofani.
 Kitu cha Chai Maharage kikiwa kimekula nyomi huku konda wake akining'inia nje.
 Sokoni Darajani
 Njia ya Kuelekea Mtendeni
 Soko la Markiti Darajani.
 Mitaa ya Mkunazini.
 Mitaa ya Mnazi.
 Barabara ya Mkunazini kuelekea Darajani.
 Michenzani
 Maalim Mie nikikata mitaa ya Zanzibar mchana wa leo.
 Nikijiandaa kuchukua kitu cha Chai Maharage kuendelea na Libeneke langu la Mtaa kwa Mtaa.
 Watalii wakipitia Ramani ili kujua wanakotakiwa kwenda.
 Malindi.
 Jamaa akiwahisha mboga nyumbani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad