HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 2, 2012

BEI ZA SAMAKI ZA SHUKA WILAYANI KILWA.

Wachuuzi wa samaki wa eneo la Somanga wilayani Kilwa wakisaka wateja kwenye mabasi yanayoelekea jijini Dar es Salaam bei ya samaki huanzia kati ya Tsh500 hadi 5000 kwa mmoja.
Abiria wakichagua samaki kutoka kwa wachuuzi wa eneo hilo ambao shughuli za samaki ndio njia kuu ya kukuza uchumi wao kuliko kilimo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad