Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi (kushoto) akifungua maji kutoka katika bomba mara baada ya kuzindua kisima kipya kilichochindwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa gharama ya sh. mil. 25, kwa ajili ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, wakati wa hafla iliyofanyika hospitalini hapo juzi. Anayenawa ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa TBL, Steve Kilindo ambaye alikabidhi kisima hicho.
Sunday, June 17, 2012

Home
Unlabelled
TBL YATOA MSAADA WA KISIMA CHA SH. MIL 25 HOSPITALI YA MOROGORO
TBL YATOA MSAADA WA KISIMA CHA SH. MIL 25 HOSPITALI YA MOROGORO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment