Wachezaji wa Kilimanjaro Taifa Stars wakiondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) leo asubuhi kuelekea Abidjan kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Ivory Coast ya kutafuta tiketi ya kucheza Kombe la Dunia. Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Jumamosi.
Thursday, May 31, 2012

Home
Unlabelled
TAIFA STARS WAONDOKA JIJINI DAR ALFAJIRI YA LEO
TAIFA STARS WAONDOKA JIJINI DAR ALFAJIRI YA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment