Washiriki wa shindano la Miss Kigamboni wakiwa katika picha ya pamoja wakati walipokutana na waandaaji wa shindano hilo,ambao ni Bi. Angela Msangi na Bi. Somoe Ng'itu (hawapo pichani) kwa mazungumzo na kufahamiana, mazungumzo hayo yalifanyika kwenye mgahawa wa Hadees Posta jijini Dar es salaam.
Wednesday, April 18, 2012

Home
Unlabelled
WAREMBO MISS KIGAMBONI WAKUTANA NA MWANDAAJI WAO
WAREMBO MISS KIGAMBONI WAKUTANA NA MWANDAAJI WAO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment