HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, January 7, 2012

Wamachinga soko la Mwanjelwa Mbeya warudi kama kawa

Baadhi ya wamachinga wa jijini mbeya wakiwa wanaendelea kujimilikisha eneo la barabara za mwanjelwa na makunguru huku halmashauri ya jiji ikiwatimaza kwa jicho la uchu isijuwe la kufanya mpaka sasa jiji halijatenga eneo maalumu la kufanyia biashara wamachinga hao
Pamoja na Jitihada za kuhamasisha wafanyabiashara ndogo ndogo kuwa na maeneo maalumu ya kufanyia biashara zao bado Halmashauri ya Jiji la Mbeya haijabuni mbinu mbadala kwa ajili ya kuwasaidia wamachinga kuwa na eneo maalumu la kufanyia biashara, hata hivyo wafanyabiashara hao wanadai kuwa aina ya biashara wazifanazo ni za kuwafuata wateja kule waliko huku wakizunguka na biashara zao mitaani.
 wamachinga wakifurahia kuruhusiwa kufanya biashara maeneo waliyokatazwa.Picha Mbeya Yetu Blog.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad