Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), Ahmad Kilima (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo kuhusu Mgomo wa madereva wa malori unaokusudiwa kufanyika tarehe 16 januari 2012 kuona kam kuna matatizo na waajiri wafike Sumatra kwa makubaliano. Mwengine ni Meneja wa Masuala ya Umma,David Mziray.
Friday, January 13, 2012

Home
Unlabelled
SUMATRA yawataka Madereva wa malori wafike kwao na si kugoma kama walivyopanga
SUMATRA yawataka Madereva wa malori wafike kwao na si kugoma kama walivyopanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment