HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 19, 2012

Kamera ya Mtaa kwa Mtaa na maeneo ya Buguruni leo

 Hii ni Barabara ya Buguruni kwa Mnyamani ambayo inaenda mpaka Vingunguti,pia kwa wakazi wa maeneo ya Tabata hii ni njia rahisi sana kwao.
 Hadi Daladala pia zinapita njia hii.
 Hapa ni Buguruni Mataa ambao leo umeme ulikuwa umekatika na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa.
 Bajaji za kumwaga eneo hili.
 Kilichonikera ni namna ya usimamaji wa Daladala hili,yaani utafikiri ni lenyewe ndio linatumia barabara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad