Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadick akipokea msaada wa hundi ya shilingi milioni 5 kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi Serikalini (GEPF), Anselim Peter kwa ajili ya waathirika wa mafuriko yaliyotokea jijini Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha na Francis Dande).
Monday, January 9, 2012

Home
Unlabelled
GEPF yatoa msaada wa Mil. 5 kwa waathirika wa mafuriko jijini Dar
GEPF yatoa msaada wa Mil. 5 kwa waathirika wa mafuriko jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment