HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 1, 2012

BONANZA LA POOL MIKOA YA KIMICHEZO YA KINONDONI,TEMEKE NA ILALA LAFANA SANA MEEDA BAR

Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezezo wa Kinondoni,Ally Akida akicheza wakati mpinzani wake Ally Akbar wa Temeke akishuhudia wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza mwishoni mwa wiki,katika mchezo huo Ally Akida alishinda.
Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezezo wa Temeke,Ally Akbar akicheza wakati mpinzani wake Ally Akida wa Kinondoni akishuhudia wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza mwishoni mwa wiki,katika mchezo huo Ally Akida wa Kinondoni alishinda.
Mchezaji wa Pool wa Mkoa wa kimichezezo wa Kinondoni,Abuu Shabani akicheza wakati mpinzani wake Charles Mushi akishuhudia wakati wa Bonanza la Mikoa mitatu ya Dar es Salam lililofanyika na kuandaliwa na Mkoa wa Kinondoni Meeda Sinza mwishoni mwa wiki,katika mchezo huo Abuu Shabani wa Kinondoni alishinda.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad