Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu ya mikononi ya Airtel, Bw. Sam Elangallor akipokea tuzo na cheti cha heshima kwa kushika nafasi ya mlipa kodi kwa ridhaa kati ya taasisi 10 zilizochaguliwa. Tuzo hiyo imetolewa leo kwenye hotel ya Serena jijini Dar wakati wa hafla fupi ya maadhimisho ya miaka 5 ya siku ya mlipa kodi kwa taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali.
Tuesday, December 6, 2011

Home
Unlabelled
airtel yatuzwa cheti cha heshima na kombe kwa ulipaji kodi mzuri
airtel yatuzwa cheti cha heshima na kombe kwa ulipaji kodi mzuri
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment