Ukikatitiza Mitaa mingi ya Jijini Dar,ni lazima ukutane na Usafiri huu wa Mkokoteni (Injini Mtu) ukijishughulisha na ubebaji wa taka ngumu mitaani huku muendeshaji wake akiwa hana vifaa vyovyote vya kumkina kwa afya yake (angalia kwa makini anachokifanya hapa na utanielewa).sasa swali langu ni kwamba huu usafiri unaruhusuwa kufanya shughuli hii?
Tuesday, December 6, 2011

Home
Unlabelled
Hivi Usafiri huu umeruhusiwa Kutumika kubebea Taka Mitaani??
Hivi Usafiri huu umeruhusiwa Kutumika kubebea Taka Mitaani??
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment