HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 24, 2011

Kamera ya Mtaa kwa Mtaa ndani ya mitaa mbali mbali ya mji wa Lindi

 Sehemu ya Kip left ya Lindi kama inavyoonekana leo huku kwa mbele kule ni jengo la Benki ya CRRD.
 Mtaa mkubwa unaoingia katikati ya mji wa Lindi.
 Moja ya Nyumba zilizopo pembezoni mwa Fukwe ya Bahari ya Hindi kama ionekanavyo.
 Mtaa wa Ghana,Lindi mjini.
 Lindi ni mji mkongwe na hata majengo yake mengi ni yale ya enzi za mkoloni.
 Mtaani
 Ofisi za TTCL mkoni Lindi.
 Ofisi za Posta Mkoani Lindi.
Kutokana na hali ya kutokuwepo kwa Umeme wa Tanesko katika kijiji cha Kilangala,Mkoani Lindi.Kinyozi huyu ambaye anaonekana anaipenda kazi yake ameamua kuiendeleza kazi yake hiyo kwa kutumia Umeme wa Sola kama mashine zake zinavyoonekana hapo juu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad