Wakazi wa jiji la Dar wakiwa wamefurika kwa wingi katika viwanja vya Biafra,Kinondoni jioni ya leo kushuhudia uzinduzi wa Filamu ya Kiswahili inayoitwa CHUMO ambayo inaelezea athari za ugonjwa wa Malaria wa wanawake wajawazito,iliyotengenezwa na Media For Development International - Tanzania chini ya Uongozi wa Jordan Riber.

Wakazi wa Maeneo mbali mbali ya jiji la Dar wakiangalia uzinduzi wa Filamu ya CHUMO katika viwanja vya Biafra,Kinondoni jioni ya leo.

Askari Polisi wakijaribu kuwapanga watu katika utaratibu uliowekwa ili kila mmoja aweze kuona Filamu hiyo.
No comments:
Post a Comment