HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 27, 2011

wakulima wa mjini washaanza na kupanda mahidi

si mnaona mahindi yanavyoanza kustawi hapa,sasa endeleeni kujifanya hampaoni hapa.huku wenzenu wanaendelea kufaidika kwa kujipatia mazao bila kulipia eneo.
cheki vitu vinavyoendelea kustawi,tena ni kwa kasi ya ajabu.
hadi wapita njia pia wanashangaa na kuona mambo yanavyochanganya fasta namna hii.si hamtaki kulitokomeza handaki hili??basi endeleeni kukaa kimya hivyo hivyo mpaka yapatikane magunia kwa magunia ya mahidi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad