kamera ya Mtaa kwa Mtaa ililinasa gari hili ambalo hutumika kwa kuuza maji safi kwa jamii, likichota maji kutoka katika bahari ya hindi jijini Dar.sasa sijui nayo yalikuwa yakipelekwa kwa wananchi kwa madai kwamba ni maji salama??
Hii picha ni muhimu sana
ReplyDelete