HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 12, 2010

vodacom yafanya tamasha la kusherehekea miaka kumi ya huduma zao

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya,John ALex (Jerry) akiwapagawisha mashabiki wake wakati wa tamasha la Vodacom Triple Ten Bash lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania na kufanyika katika ufukwe wa bahari ya hindi katika Hotel ya Jangwani Sea Breeze ikiwa ni kuazimisha miaka kumi ya Vodacom Tanzania kwa kutoa huduma zake hapa nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad