
Da' Salama Martin akiwa katika pozi wakati send off yake iliyofanyika usiku wa jana katika ukumbi wa Police Officers' Mess,jijini Arusha.

Da' Salama na Matron wake wakiwa katika pozi nje ya bustani za Charity Hotel,Jijini Arusha.

watarajiwa wakiwa na wapambe wao hai tebo.

Da' Salama akiwa na timu yake iliyomsindikiza katika send off yake iliyofanyika usiku wa jana katika ukumbi wa Police Officers' Mess,jijini Arusha.

tabasamu la kupendeza

watarajiwa,Gisler Sakaya na Salama (Judica) Martin wakitabasamu kwa furaha

mambo ya msosi

Wazazi wa pande zote mbili wakiwa katika picha ya pamoja na Bi harusi mtarajiwa pamoja na matron wake.

Mzee mzima nikiuza nyago na Bi Harusi mtarajiwa,Salama Martin.

Da' Salama akionyesha utaalamu wake wa kukata ndafu
hizo poda mtu unakuwa kama una uso fake ni hatari black is beutiful
ReplyDelete