HakiyaMungu...viumbua ninavyo vienda, mpaka udenda unanitoka. Mwambie nikija lazia nitamtembelea asihame.
Kwa nini unasema ni "balaa?" Yuko anajitafutia riziki tena kwa njia ya halali na anatakiwa kuungwa mkono na kutiwa moyo. Hongera kijana kwa kuonyesha moyo wa kijasiriamali. Huo ni mwanzo tu na usikate tamaa. Huwezi jua Mungu Amekuandalia nini huko mbele.
HakiyaMungu...viumbua ninavyo vienda, mpaka udenda unanitoka. Mwambie nikija lazia nitamtembelea asihame.
ReplyDeleteKwa nini unasema ni "balaa?" Yuko anajitafutia riziki tena kwa njia ya halali na anatakiwa kuungwa mkono na kutiwa moyo.
ReplyDeleteHongera kijana kwa kuonyesha moyo wa kijasiriamali. Huo ni mwanzo tu na usikate tamaa. Huwezi jua Mungu Amekuandalia nini huko mbele.