HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 3, 2010

AY achaguliwa kushiriki tuzo nchini ufaranza,watanzania tumpigie kura ili aweze kushinda

Ambwene Yessaya a.k.a AY

Kwa mwaka huu AY alianza kunyakua tuzo ya Chaguo la Teneez ya Kenya,Kili Awards ya Tanzania na Museke Awards ya Ghana.Mwaka huu ni moto chini sidhani kama kuna artists wa bongo aliyekuwa nominee kwa awards za nchi tofauti na kushinda Tuzo..

Sasa amechaguliwa katika final za Tuzo za Ufaransa za RADIO FRANCE INTERNATIONALE DISCOVERIES AWARD 2010 {Rfi Prix Découvertes 2010} zitazofanyika September,ndani ya Paris.

AY anawaomba watanzania wote kumpigia kura za kutosha aweze/tuweze kushinda tuzo hizo.Unaweza kuvote kupitia

www.rfimusique.com

PAMOJA SANA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad