HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 24, 2010

Rais Kikwete Akiwa Sengerema Leo

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi katika kata ya Nyehunge jimbo la Buchosa,wilaya ya Sengerema leo mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na kumfariji msichana mwenye ulemavu wa ngozi aliyejitambulisha kwa jina la Rehema Mahaluko muda mfupi baada ya kuhutubia katika mkutano wa hadhara huko Nyehunge, wilayani Sengerema leo mchana.
(Picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad