HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 31, 2010

Lishafika Hapo

kamera ya mtaa kwa mtaa leo imelikuta tela hili la hamlashauri ya manispaa ya kinondoni likiwa limesheheni taka ngumu katika barabara ya kawawa.haikufahamika mara moja ni sababu gani zilizopelekea kuachwa kwa tela hiyo mahala hapo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad