HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 31, 2010

Warembo wa Miss Tanzania Wapewa Somo na Vodacom Leo

Mmoja wa Warembo wanaowania Taji la Vodacom Miss Tanzania 2010, Irene Hezron (22) akiuliza swali kuhusiana na huduma ya M-PESA katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya Geraffe walikoweka kambi warembo hao.Jumla ya warembo 30 walipewa mafunzo juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Kampuni ya Vodacom Tanzania.
Afisa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania ,Elihuruma Ngowi akiwagawia Warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2010 Line za simu, baada ya kumaliza kutoa semina kwa warembo hao iliyohusiana na huduma zinazotolewa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania .iliyofanyika katika Hoteli ya Giraffe View .

Meneja mauzo wa M Pesa wa Vodacom Tanzania ,Jerome Mnishi akifafanua jinsi huduma ya M Pesa inavyofanya kazi kwa Warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2010.iliyofanyika katika kambi yao iliyopo Giraffe Hotel.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad