HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, August 15, 2010

Dj Oscar Urio Aukacha Ukapera Leo

Dj Oscar Urio akiwa na mkewe Emmaculate Chuwa katika sherehe ya kumeremeta kwao iliyofanyika usiku huu katuka ukumbi wa Karibu Art Gallary uliopo Mbezi Beach usiku huu.
Dj Oscar na mkewe Emmaculate wakiyarudi magoma kwa raha zao
maharusi wakipata msosi
Baba na Mama wa Dj Oscar wakiwa katika pozi.
maharusi pamoja na wapame wao
mambo ya twisti hayoooo,si mnajua tena wachaga na magoma hayo??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad