
ENZI ZA UHAI WAKE
(LEO TUNAKUAGA KWA ZABURI 119:89-92, ZABURI 150:1-6, ISAYA 41:10,13 )
Familia ya Mzee swai wa Kinondoni, Dar Es Salaam inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mr Elisaeli Peter Swai kilichotokea jana tarehe 11/05/2010 katika hospitali ya Doctor Mvungi kinondoni.Enzi za uhai wake Marehemu aliwahi kufanya kazi Shirika la Bima (NIC) Tanzania, Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake kinondoni Mtaa wa Karafuu karibu na nyumba ya mwenye mabasi ya Siri yako . Wakiwa wanawasubiri watoto wa marehemu
1.KILABA PETER SWAI – Kutoka ARIZONA , MAREKANI
2.HAPPY ELISAELI SWAI – Kutoka HOLLAND
3.HELLEN MAMMY E.SWAI (MRS HELLEN SEKUBA)– Kutoka UK
4.MKWE WA MAREHEMU MR RICHARD SHEM SEKUBA – UK +447775787256
5.MDOGO WA MAREHEMU STELLAH ELISAELI SWAI - +13168471757
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA
KWA MAWASILIANO ZAIDI YA RATIBA YA MAZISHI WASILIANA NA
Ludovick Kileo - +255787554554, +255652509316
Mzee Ruben Swai - +255784614050
Gerald Swai - +255755548707
hawa wafiwa hawana ndugu mikoani,mbona wamejulishwa wa US,UK na Holland tu??????
ReplyDeleteMikoani hamna mtu anasoma internet yanini kupoteza wino na karatasi huku wakijua hamna atakaye soma.
ReplyDelete