Marehemu Mzee Joseph Lebulu Mushi enzi za uhai wake
Ndugu Victor Joseph Lebulu wa Tegeta,Dar es Salaa.anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi,Mzee Joseph Lebulu Mushi kilichotokea jana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Moshi kwa mazishi inafanywa nyumbani kwa mtoto wa marehemu Tegeta,Dar es Salaam.Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili mpaka hapo utaratibu wa kusafirisha utakapokamilika.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki woote popote pale waliko.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:-Victor Joseph Lebulu:
kwa namba hizi 0784/0655 721 003
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PAHALA PEMA PEPONI
– AMINA
Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu kwenda Moshi kwa mazishi inafanywa nyumbani kwa mtoto wa marehemu Tegeta,Dar es Salaam.Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili mpaka hapo utaratibu wa kusafirisha utakapokamilika.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki woote popote pale waliko.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na:-Victor Joseph Lebulu:
kwa namba hizi 0784/0655 721 003
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PAHALA PEMA PEPONI
– AMINA
No comments:
Post a Comment