
pikipiki zibebazo abiria zilizoshika kasi kubwa sana hapa bongo,zikiwa zimepaki kijiweji kwao tayari kwa kusubiria abiria.hapa ni Mtongani,Mbezi bichi njia panda ya kuelekea sala sala.huu usafiri ndio uko wa kutosha katika eneo hili kuliko hata hizo gari na bajaj.
No comments:
Post a Comment