
kekizz la Besdei

wanakijiji wakijisevia keki

vibanda vya kupumzikia katika fukwe za bichi ya Chadibwa

libeneke likiendelea kama kawa.

jikekizz likikatwa kwa pamoja na wadau woote.

wakuu wa kazi,kulia ni Babukadja na kushoto ni Piusy Micky ambaye ndie mdau mkuu wa Chadibwa bichi

".....kwa jina la ...... na la.... keki malizika...."hizi ni dua za Ndekia

msosi ukitayarishwa tayari kwa kupelekwa pwani

msosi ukiliwa

mambo yetu kama kawa.

mduariko kama kazi.hii yote ilikuwa ni katika kuadhishwa kwa sherehe ya kutimiza miaka miwili ya kijiji cha FotoBaraza.Net iliyofanyika huko Chadibwa Bichi pande za Kigamboni leo.hebu bofya hapo kutembelea
FotoBaraza.Net
epi besidei!!
ReplyDeletesawaaaaaaaaa!!! hata kualikana? poa kaka lol!!! jokes...Lookin good peeps!
ReplyDeletemhh jicho limenitoka namtafuta saya yuko wapi
ReplyDeleteAnonymous wa 9:12
ReplyDeleteNipo angalia vizuri utaniona hahha hhahha thanx!