HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 6, 2010

Ni Hali Ngumu Ya Maisha,Au Ni Kitu Gani??

Maana mtu mpaka anaamua kupiga mbonji sehemu kama hii ambayo ni pembezoni mwa barabara na bila kuwa na wasiwasi wowote??kwa kweli hii hali inasikitisha sana.
hii picha nimeipiga asubuhi ya leo nilipokuwa katika libeneke langu la Mtaa Kwa Mtaa,hapa ni Magomeni mapipa pembezoni tu mwa Bar ya kwa Macheni.

1 comment:

  1. Hiyo sio hali ngumu ya maisha hiyo ni FULL KUJIACHIA.







    Mtg

    ReplyDelete

Post Bottom Ad