HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 6, 2010

3 comments:

  1. hiyo ni pombe haramu ilikuwa kwenye hiyo chupa ya pepsi, yaani ni chupa haina hata mbaki kidogo ya soda

    ReplyDelete
  2. Uko nyumbani mwenyewe unajiita boss halaf unae mtegemea alinde ofice mapigo ndo kama hayo anafunga swala mda wa kazi. kuchoka gani huko mue mnapunzika mchana baba za ngu kwani hela hutafutwa kila siku siku moja moja unakua home unapunzika hela hazi tafutwi kwa ku foss nawaona walinzi wengi ndio tabia zao
    jali ofice kama ofice mda wa kazi fanya kazi mda wa kulala we lala dogosalim kino
    aminia othmani michuzi sikumoja katika pitapita zako njoo uwa pige hapa manyanya cafe watu kama hao wapo

    ReplyDelete
  3. huyu ni watu ambao wa hali ya chini kipato cha chini kazi night kumi mfululizo si mchezo kuna wakati unapitiwa. wa richmond na epa hawasinzii kama hivi, simfagilii ni hali halisi

    ReplyDelete

Post Bottom Ad