unaweza sema anauza sura,lakini mwenyewe ndio anajua maana hapo unaambia leo ndio kumewezekanika kutoka nje kutokana na kupungua kwa askrimu ya kutoka kwa saa God.anakwambia hii ndio hali halisi inavyoonekana huko kwao,maana hakuna cha misele wala nini ni full kula mijumba tuu na vidude vya masikioni kama vile unakuna muziki.hebu mtembelee kwa huku ukampe pole na kumfariji kwa hali hiyo waliyonayo sasa.
unaweza sema anauza sura,lakini mwenyewe ndio anajua maana hapo unaambia leo ndio kumewezekanika kutoka nje kutokana na kupungua kwa askrimu ya kutoka kwa saa God.anakwambia hii ndio hali halisi inavyoonekana huko kwao,maana hakuna cha misele wala nini ni full kula mijumba tuu na vidude vya masikioni kama vile unakuna muziki.hebu mtembelee kwa huku ukampe pole na kumfariji kwa hali hiyo waliyonayo sasa.

No comments:
Post a Comment