HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 8, 2010

Deiwaka Ya Bajaj

jana usiku niliachiwa deiwaka ya Bajaj na jamaa yangu,nami sikusita kuipokea na kuendelea kupiga kazi kama uonavyo pichani nikiwa nishalamba zangu vichwa na kuwapeleka sehemu waendayo.Daahh ila huu umafiri umetulia jamani yaani hadi raha ukiendesha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad