Habari zenu wana blog wenzangu!
Nikiwa mmoja ya wanablog kutoka kijiji cha Habari na Matukio (www.kajunason.blogspot.com) ningependa kushare hili na ndugu zetu ili walifahamu hili.
Nikiwa mmoja ya wanablog kutoka kijiji cha Habari na Matukio (www.kajunason.blogspot.com) ningependa kushare hili na ndugu zetu ili walifahamu hili.
Kwa mwaka 2009 tumepokea e.mail nyingi sana za kuomba watu watangaziwe mambo yao kupitia blog ila ni wachache sana ambao wanajua umuhimu wa kurudisha fadhila au hata kutuma mialiko ya matukio ambayo wanayafanya.
Jambo baya na la kusikitisha kabisa hawa watu pale unapopata nafasi ya kwenda utaambiwa hautambuliki kabisa kwa nini nisitambulike wakati unanitumia e.mail ili nikutangazie mambo yako ulinitambuaje? na leo nimekuja kwenye hicho kitu kuangalia kama kweli kimefanyika unasema haunitambui?
Wadau wetu nimeandika e.mail hii ili kuweza kusema ukweli...endapo unatuma tangazo na kuomba utangaziwe concert au tukio lolote harafu hautumi mwaliko inakuwa haina maana ninaomba tubadilike huu ni mwaka mpta 2010.
Ni mimi,
Cathbert Angelo Kajuna,
www.kajunason.blogspot.com
...Everything Possible Through Peace and Stability...
No comments:
Post a Comment