HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 4, 2010

Sasa Huu Ndio Upakiji Gani Wa Magari??

huku wamepaki na huku wamepaki,wanataka sisi tupite wapi sasa??hapa ni mtaa wa Agrey mchana wa leo.yaani hili eneo kila siku ni kero tupu mara sijui wanashusha mara wanapandisha yaani hata hawaeleweki hawa wahindi wenye maduka hapa,yaani barabara imekuwa kama yao vile.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad