HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 7, 2009

Media Dei 2009 Ilivyonoga Wiki Endi hii

Wadau wa Habari toka vyombo mbalimbali wakisherehekea siku kuu yao.
Sophia Kessy (mamaa wa Africa Bambataa),Anthonio pamoja na Arnold Kayanda (Ditective) wote kutoka Clouds Media Group wakiwa ndani ya fukwe ya Msasani katika kusherehekea sikukuu ya wanahabari,mwishoni mwa wiki hii
haya vutaaaa......
.....Mmmmhhhh meza hii sijui kama kuna mtu alifika salama kwake.....
mtasha akipewa festi aidi baada ya kuumia katika mchezo
kina dada wakijidai katika mchezo wa net boli ndani ya fukwe ya Msasani Jeshini
Dada Suzy wa Clouds usimpimie katika kulisakata goma la Msondo,si unamdekshia mwenyewe hapo anavyopelekana na Mdau?
yaani ni Full kujimwayamwaya
"haya twendeeeee,kidogo tuu kodogo tuu,haya twendee"
Mduara umekolea.

1 comment:

Post Bottom Ad