Mambo!
Naomba nichuke nafasi hii kwa niaba ya uongozi na wanajumuiya nzima ya wanafunzi wa Hyderabad kwa moyo wenu wa upendo na ushirikiano.
Naomba nichuke nafasi hii kwa niaba ya uongozi na wanajumuiya nzima ya wanafunzi wa Hyderabad kwa moyo wenu wa upendo na ushirikiano.
Tunasema asante sana maana bila nyie huwenda taarifa za msiba wa mwenzetu Bernard Lema zisingesambaa kwa kasi na kuwafikia ndugu, jamaa na marafiki kokote kule walipo.
Mungu awazidishie sana.
Mungu awazidishie sana.
Wenu kwenye ujenzi wa taifa,
Daniel John Masimbusi (Senator),
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa TSAH.
No comments:
Post a Comment