
napanda zangu chombo a.k.a Gogo kuelekea pande za nanihii

nikiwa katika siti yangu ya festi klass
zawadi za kuwapelekea washkaji huko niendako maana kitu hii ni hadimu kidogo kwa pande zile

wadau wenzangu wakiwa wametulia tuuli wakisubiri chombo kianze kupiga hatua.lakini hizi siti zimetulia jamani uongo zambi.
AMAZING!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeletesame upareni habari muhimu mbona umeichunia?
ReplyDeletetreni ya kwenda TABORA HIYO ...
ReplyDeleteItakua bira kuema ukweli tujue unatoka wapi na unaelekea wapi !
ReplyDeleteHiyo nafikiri italeta maana sana katika picha
ufisadi unatupeleka pabaya
ReplyDelete