Mlimbwende wa Vodacom Miss Tanzania 2008/9 Nasreen Karim akikatiza kwenye moja ya kivuko kilichopo huko jijini Mwanza ambacho ni moja ya vivutio vikubwa sana jijini humo,alipokuwa katika vekesheni yake huko jijini Mwanza.je kwa wale wadau wa jiji la Mwanza mnaweza tudadavulia hiki kivuko kiko sehemu gani huko jijini Mwanza?.picha na kutoka hapa
No comments:
Post a Comment