A&E SECRETARIAL SERVICES AND INTERNAT CAFE

Bango lao kwa nje

huduma zitolewazo

wakina Dada wanaotoa huduma ndani ya A&E SECRETARIAL SERVICES AND INTERNET CAFE wakiwa bize na kazi.

Baadhi ya wateja wakiwa bize na kuperuzi mambo yako katika net ya ukweli kabisa na ambayo iko fasta kutita Internet cafe zote hapa mjini.

hata huyu mzururaji nae aliweza kuendeleza libeneke katika Internet Cafe ya A&E iliyopo katika mtaa wa Agrey street.mcheki alivyotulia mwenyewe,yaani yuko kimyaa kama sio yeye vile

warembo hawa ni wakarimu sana,maana wanakukaribisha vizuri na kama unatatizo wanakusaidia,kulia ni dada Grory na kushoto ni dada Nancy

jamaa akiperuzi mambo yake mtandaoni.

A&E ipo ndani ya jengo hili lililopo mtaa wa Agrey jirani kabisa na pale kwa Bahresa wanakouza ice cream


Mawasiliano yao
pia wanatoa huduma za kusafirisha mizigo ndani na nje ya nchi,kwa kupitia kampuni yao nyongone ya LASWAY TRACK.
WANAPATIKANA:
MTAA WA AGREY JIRANI NA BAHRESA.
P.O.BOX 32608
TEL:+255 22 2183871
MOB:+255 787 111 111
+255 773 808 588
+255 715 500 010
EMAIL: roxanafoods@yahoo.com
traceme2009@hotmail.com
No comments:
Post a Comment