HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 4, 2009

ngoma inapobuma kati kati ya rodi

washkaji wakisukuma gari iliyosheheni mizigo kibao,mara baada ya kubuma katikati ya barabara ya Kawawa rodi jioni ya leo.sijui iliwachukua muda gani kufika pale sheli ya mafuta ya Magomeni??maana kulikuwa na foleni ya maana kweli kweli.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad