HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 5, 2009

Saba Saba Ya Mwaka Huu Ni Full Raha

lango kuu la kuingilia na kutokeamtu nyomi ndani ya viwanja vya sabasaba
banda la Zain kwa mbaaaliii
kila mtu aliingia katika banda la homu shopingi senta kucheni nini kinachoonyeshwa humo ndanikila kona ilikuwa ni mtu nyomi ile mbayaBenki kuu ya Tanzania nao ndani ya nyumba
mwaka huu hadi raha maana hakuna kelele kelele kama zile zilizokuwaga zikipigwa katika maonyesho yaliyopita.
Maliasili na Utalii nao kama kawa.
mzee wa nyika akiwa bangani kwake na bonge moja la pozz kwa ajili ya kuangaliwa na wadau

chui akiwa kala bonge la pozz ndani ya banda lake,ndani ya banda la Wizara ya Maliasili na Utalii

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad