HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 6, 2009

Mtaa Wa Msimbazi Na Mishe Mishe Za Wamachinga

mishe mishe za mtaa wa msimbazi nyakati za jioni.
wauza nyanya,vitunguu na viazi katika mtaa wa msimbazi
wafanya biashara ndogondogo al maaruf kama wamachinga a.k.a popote kambi,hupenda kuutumia mtaa wa msimbazi kama sehemu ya kufanyia biashara zao,hasa nyakati za jioni na wikiendi wakati kazi za kiofisi zikiwa zimesimama.hapa ni nje ya jengo la benk ya posta lililopo katika mtaa wa msimbazi,kama kajikamera ka MTAA KWA MTAA kalivyozigumia hizi.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad