hivi ndivyo inavyokuwaga pindi umeme unapoleta mushkeri katika mabarabara yetu hapa bongo,hii ni mchana wa leo katika mataa yaongozayo magari yaliyopo katika kakutano ya barabara ya Ally Hassan Mwinyi na Kawawa Rodi pale Morocco.hivi kwa nini hizi taa zisingebadilishwa na kuwekwa zile za kutumia mionzi ya jua ili matatizo kama haya yasitokee tena?
Sunday, March 22, 2009
Libeneke La Barabara Zetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment