HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 11, 2008

Rais Kikwete Ahutubia Wananchi Wa Mbeya

Mzee Ambakisye Yoram akimvika mgolole wa Heshima Rais Kikwete muda mfupi kabla ya Rais kuwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Rungwe jana.Rais Kikwete yupo katika ziara ya siku kumi mkoani Mbeya
Rais Jakaya Kikwete na mke wake Mama Salma Kikwete wakipokea maua kutoka kwa wanafunzi ya shule ya msingi Lufingo wilayani Rungwe,Baraka Michael na Ashura Ephraim, muda mfupi kabla ya kuzindua SACCOS ya Lufingo wilayani Rungwe.
JK akiwasalimia maelfu ya wakazi wa mji wa Mbeya waloijitokeza kumlaki kwa shangwe wakati wa mwanzo ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo
Raisi Jakaya Kikwete akihutubia umati wa wananchi wa Mwakaleli alikokwenda kuzindua kiwanda kipya cha kusindika chai. Kila alipokwenda alikuta umati mkubwa na alipokewa kwa shangwe na nderemo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad