Babu wa kijiji cha jamii Fotobazara alipopata habari za kuanguka kwa ghorofa pale mtaa wa Kisutu, juma lililopita, akaona si vibaya kuwashauri wataalamu wetu wa ujenzi kuwa kama maghorofa yanawapa tabu kuyasimamisha basi tuishie kwenye geto kama hizi, hakuna atakayetuuliza kwani hakuna anayetudai. Unadhani Babu anawaza sawa? Bofya hapa kutoa mchango wako.
Thursday, June 26, 2008
Home
Unlabelled
Ushauri Wa Bure Kwa Wakandarasi Wa Maghorofa Bongo
Ushauri Wa Bure Kwa Wakandarasi Wa Maghorofa Bongo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment